Sunday, 12 February 2017

SORRY MADAM -Sehemu ya 29 & 30 (Destination of my enemies)

SORRY MADAM -Sehemu ya 29 & 30 (Destination of my enemies)

ILIPOISHIA
“Muheshimiwa kama ni ushahidi basi hiyo kazi niachie mimi, nitahakikisha nay eye tunamfanya kama tulivyo mfanya baba yake”
 
Wote watano akiwemo raisi Praygod wakajikuta wakitabasamu wakiamini mpango wao umekwenda sawa sawa, lakini yote yaliyo kuwa yakiendelea ndani ya ofisi hiyo Rahab aliweza kuyasikia, hii ni baada ya kuingiza kinasa sauti kwenye suti ya mumewe pasipo yeye kujijua wakati akiwa anamuandaa wakati wa asubihi akielekea kwenye kikao hicho na washauri wake. 

Job Opportunity at SDL, Site Service Delivery Lead

Job Opportunity at SDL, Site Service Delivery Lead

SERVICE DELIVERY LEAD (SDL) – Dar-es Salaam

Background of the Role

The SDL role is accountable for IS Service Management and Service Delivery within the country. A core element of this role is to support the operational activities related to technical infrastructure services in Dar es Salaam, Moshi, Mwanza and other selling points.

Majina Ya Wanafunzi Waliopata Mkopo Baada Ya Kukata Rufaa Bodi Ya Mikopo 2016/2017

Bodi ya Mikopo imetangaza majina ya wanafunzi waliofanikiwa kupata mkopo baada ya kukata rufaa.


Rais Magufuli ataka Watanzania waliofungwa nje kwa dawa za kulevya waachwe sheria zichukue mkondo wake

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli, ameviagiza vyombo vyote vya ulinzi na usalama kuongeza nguvu katika mapambano dhidi ya dawa za kulevya kwa kuhakikisha vinasimamia sheria ipasavyo ili kukabiliana na tatizo hilo hapa nchini.

Saturday, 11 February 2017

Gigy Money-Wengi Walikuwa Wananishangaa Navyopiga Picha za Nusu Utupu..Ila Leo Nimekuwa Staa

Gigy Money-Wengi Walikuwa Wananishangaa Navyopiga Picha za Nusu Utupu..Ila Leo Nimekuwa Staa

Hivi ni Kwanini Wanawake Wengi Hujivunia Sana Makalio Yao?

Angalia hata picha wanazopiga wanawake utaona jinsi wanavyojibinua ili wanaonekane wana makalio makubwa.

Hata wakati wa kutembea pia wengine hutembea tofauti ili kuhakikisha kuwa makalio yake yanatikisika na ndio maana hata wengine hudiriki hata kutumia dawa za mchina ili kukuza makalio yao na hata baadhi yao wakati mwingine hujigamba kuwa eti wanamshukuru Mungu kwa kuwapa hips kubwa na wakati mwingine husikika wakisema eti mwanamke inye. 

Pamoja na Kumuhusisha na Madawa ya Kulevya,TID Amfuata Makonda Hadi Nyumbani Kwake,Haya Ndiyo Aliyomueleza..!!!

Pamoja na Kumuhusisha na Madawa ya Kulevya,TID Amfuata Makonda Hadi Nyumbani Kwake,Haya Ndiyo Aliyomueleza..!!!


Mapema jana Mwanamuziki Khalid Mohamed maarufu kama "Top In Dar" (TID) ambaye alikuwa miongoni mwa watu wa kwanza kuitwa polisi kwa mazungumzo ya tuhuma zake kuhusu anavyohusika na madawa ya kulevya, alifika nyumbani kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda kwa ajili ya kumsalimia na mazungumzo ya kawaida 

Lusinde Amvaa Mbunge Mwenzake wa CCM Kwa Kugana Muda na Mbunge wa CHADEMA

Lusinde Amvaa Mbunge Mwenzake wa CCM Kwa Kugana Muda na Mbunge wa CHADEMA

Mbunge wa Mtera (CCM), Livingstone Lusinde amesema kitendo alichofanya Mbunge mwenzake wa Jimbo la Mara CCM, Boniface Getere cha kugawana muda na mbunge wa Serengeti (Chadema), Marwa Ryoba ni utovu mkubwa wa nidhamu.

Job at DJA multimedia Productions, Creative And Marketing Director

Job opportunity:  CREATIVE AND MARKETING DIRECTOR
Introduction

DJA multimedia Productions provides full media services, including, video productions, editing, digital special effects, audio recording, scripting and all other media related services like talk shows production. Our professional experience includes years of producing, directing and editing professional television content, movies, series etc.  We use those skills to produce vibrant media for our corporate, educational, government and individual clients.
Therefore DJA multimedia production is looking for creative and marketing director with the following:

Askofu Gwajima Kaachiwa Huru na Jeshi la Polisi

Askofu Josephat Gwajima wa kanisa la Ufufuo na Uzima ameachiwa na Polisi leo jioni baada ya mahojiano yaliyodumu toka Alhamisi mchana kwenye kituo cha Polisi kati Dar es salaam kufuatia sakata la dawa za kulevya.

Friday, 10 February 2017

Waziri Mkuu Azitaka Taasisi za Umma Zinazodaiwa na TTCL Kulipa Madeni Yao Kabla ya Juni 30, 2017

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amezitaka taasisi mbalimbali za umma zinazodaiwa na Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) ziwe zimelipa madeni yao ifikapo Juni 30, mwaka huu.

Zitto Kabwe: Sasa kukamata wabunge hovyo hovyo mwisho

Mbunge wa Kigoma mjini Zitto Kabwe amefunguka na kusema ile hali ya polisi kuwakamata wabunge hovyo sasa mwisho baada ya jana Ndugai kutoa uamuzi kuwa Afisa yoyote wa Serikali ambaye atakuwa akimuhitaji mbunge ni lazima kwanza atoe taarifa kwa spika

Alichokisema Baba Diamond Kuhusu Nani Mkali Kati ya Mwanae Diamond na Darasa..!!!

Alichokisema Baba Diamond Kuhusu Nani Mkali Kati ya Mwanae Diamond na Darasa..!!!


BABA wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Abdul Jumaa amefunguka kuwa Mwanamuziki, Shariff Thabeet ‘Darassa’ licha ya watu kusema yupo juu lakini hawezi kumshinda au kufikia levo alizopo mwanaye.

Habari Zilizopo Katika Magazeto ya Leo Jumamosi ya February 11

Zitto Kabwe amkingia kifua Mbowe....Msikilize Hapa Akiongea

Mbunge wa Kigoma Mjini ambaye pia ni Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe amemkingia kifua Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe na kusema kuwa anaamini Mbunge huyo wa Hai hajawahi kujihusisha na dawa za kuleva kwa namna yoyote

SORRY MADAM -Sehemu ya 27 & 28 (Destination of my enemies)


MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA

ILIPOISHIA
‘Hawanijui hawa’
Eddy alizungumza huku akishuka kwenye gari bastola yake akiwa ameichomeka kwa nyuma.
“Nyinyi ni wakina nani?”
Eddy aliwauliza huku akijiweka sawa kwa lolote litakao kwenda kujitokeza, ukimya wa barabara hiyo inayo elekea ikulu na majira haya ya usiku iliwafanya Lube na wezake kuweza kuilisikia swali hilo walilo ulizwa. Hapakuwa na aliye jibu zaidi ya wao kuanza kujitawanya na kumzingira Eddy na kumuweka kati tayari kwa kumshambulia.

ENDELEA

Jeshi la Polisi Dar Lamjibu Mbowe......Lasema Kama Hataripoti Polisi, Basi Litamfuata Popote Alipo.

Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limesema kama Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe hataripoti bila kutoa taarifa yoyote ya udhuru atafuatwa kwa kuwa jeshi hilo linahitaji  kumhoji.

Kamanda wa kanda hiyo, Simon Sirro amesema hayo leo muda mfupi baada ya Mbowe kueleza kuwa hataripoti polisi kutokana na wito wa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.

Amesema operesheni dhidi ya mihadarati bado inaendelea na kuanzia sasa hawataruhusu tena mkusanyiko wa watu katika kituo cha polisi kati na wale watakaoonekana watashughulikiwa hivyo asije kulalamika mtu kwani taarifa imeshatolewa.

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ametangaza rasmi kutofika kituoni hapo kwa madai kuwa hawezi kwenda polisi kwa wito wa Mkuu wa Mkoa, Paul Makonda isipokuwa pale tu taratibu za kisheria zitakapofuatwa. 

Yusuf Manj na Askofu Gwajima Kuendelea Kusota Selo.....Sirro Asema Upelelezi Bado Unaendelea

Kamanda Sirro amesema  bado wanamshikilia mwenyekiti wa Yanga, Yusuph Manji pamoja Askofu wa kanisa la Ufunuo na Uzima, Josephat Gwajima kwa tuhuma za kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya na upelelezi dhidi yao bado haujakamilika.

Anaswa na mzigo wa dawa za kulevya chumbani..... RPC Mwanza asimulia Sakata Zima

Anaswa na mzigo wa dawa za kulevya chumbani..... RPC Mwanza asimulia Sakata Zima

Mtu mmoja anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoani Mwanza kwa kosa la kupatikana na dawa za kulevya yanayodhaniwa kuwa heroine kiasi cha pinchi 240 na ndonga mbili.

Taarifa ya jeshi hilo iliyotolewa leo, imedai kuwa mtu huyo aliyejulikana kwa jina la Kassim Hemed Kesi mwenye umri wa miaka 43,  amekamatwa majira ya saa 6 usiku wa kuamkia leo katika mtaa wa Kanyerere kata ya Butimba wilaya ya Nyamagana Jijini Mwanza